Skip to main content

Ya kuzingatia Katika Kilimo cha Nyanya

  • Mbegu
  • Pendelea kupanda mbegu za hybrid km ana eden nuru nk ilimradi iwe hybrid.
  • Ardhi
  • Ardhi iwe nzuri yenye rutuba kama haina rutuba weka samadi na pia tumia mbolea za kisasa.
  • Dawa
  • Ni muhimu sana kupulizia dawa mara kwa mara kuanzia kwenye kitalu cha mbegu hadi shambani.
  • Mbolea
  • Inapaswa kuweka mbolea mara mbili hadi tatu kulingana na rotuba ya shamba husika.
  • Pia unatakiwa uweke vijiti ili kuwezesha miche kusimama vizuri na kuifanya isianguke nakuozesha matunda.
  • Ukizingatia hayo utafanikiwa kwenye kilimo chako cha nyanya.
  • Pia  zao la nyanya linaweza likakuongezea kipato na kakupa faida kubwa endapo tu utazingatia kanuni zake.

Comments